Vitamin C Chewable Tablets Ongeza Damu, Anaemia, Udumavu
Dar es Salaam, Ilala, 30/05
25 maoni
Vitamin C Chewable Tablets Ongeza Damu, Anaemia, Udumavu
+1
Bf Suma
Chapa
Virutubisho vya Vitamini
Aina
Tata/changamano ya vitamini nyingi, Vitamini C (Ascorbic Acid), Tikiti uchungu (Momordica Charantia), Machungwa chachu (Citrus Aurantium)
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Yote
Jinsia
Watoto
Kikundi cha Umri
Orange
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Nyingine
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Virutubisho vya Vitamini C
Aina ya Virutubisho vya Vitamini
Anwani ya duka
Mkoa wa Kagera • Karagwe
P.O.BOX 145, KARAGWE
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-18:00
*VITAMIN C CHEWABLE TABLETS.*
Hii ni bidhaa mpya kabsa yenye radha ya chungwa na ni nzuri sana na mahususi kwa watoto, wajawazito, wamama wanaonyonyesha na watu wazima.
Ina vidonge 120 na 100mg, unaweza kutumia pamoja na chakula au bila chakula.
Idadi ya vidonge kwa siku;
Miaka 4-13 atumie 1.
Miaka 14-17 na mjawazito atumie 1-2.
Anayenyonyesha atumie 1-3.
Mtu mzima atumie 1-5.
Ni bidhaa nzuri na tamu sana hata mtoto asiyependa kutumia vidonge ataipenda sana.
*FAIDA ZA VITAMIN C SUPPLEMENT
Inazuia na kutibu anemia.
Inazuia kukakama kwa cell za ateri.
Inasaidia kuponesha vidonda haraka.
Inazalisha collagen za kutosha ambazo ni proteins zinazoimalisha ngozi, mishipa ya damu na damu yenyewe, mifupa na cartilage.
Inasaidia uchukuliwaji wa madini chuma mwilini(Iron absorption