Ni dawa nzuri kwa mtu anayesumbuliwa na tatizo la u.t.i sugu na isiyo sugu
1)inasafisha kibofu cha mkojo vizuri na kuongoa maumivu wakati wa haja ndogo
2)inaondoa sumu mbaya mwilini kwenye figo na kibofu cha mkojo
3)inatibu kaswende pamoja kichocho
4)kuondoa maumivu wakati haja ndogo
matumizi
wakubwa tumia vijiko 3 vikubwa vya chakula kutwa mara 2 (3×2)
watoto kijiko kidogo kutwa mara mbili 1×2