Program Ya Kupunguza Tumbo Na Kitambi Kwa Lishe Maalum
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, masaa 3 yaliyopita
1 maoni
Program Ya Kupunguza Tumbo Na Kitambi Kwa Lishe Maalum
+1
1
Forever
Chapa
Bidhaa za Kupoteza Uzito
Aina
Aloe Vera
Viungo Amilifu
Kunywa
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Vanilla
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Virutubisho vya Kupoteza Uzito
Aina ya Bidhaa za Kupoteza Uzito
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
HII NDIYO SABABU INAYOKUFANYA UNENEPA
Sasa Baada ya Mwili Kutengeneza Mafuta Mwilini,Wengi Wetu ndipo Tunashtuka na kusema "Nimenenepa Ngoja nianze Diet au Niende Gym"
Yes Gym inasaidia sana kupunguza Calories lakini Kumbuka Ukiburn Calories utakua Unaondoa tu Mafuta lakini haundoi Chanzo cha Kuleta yale Mafuta kwa Kasi(ambayo ni Sumu/Takamwili/Toxins).
Sasa ikitokea tu umeacha mazoezi basi mwili unatambua kwamba hakuna tena kuweza kujifadhi sumu so inarudia ile kazi ya kukusanya mafuta upya tena,tena sasahivi itakua kwa kasi sana na ndo maana utaskia watu wengi wanasena "Mimi nilienda Gym miezi miwili nikapungua 2kg lakini nilipoacha nikarudia kwenye Unene"