Ni dawa maalumu kwa kutibu tatizo la kikojozi au kutoweza kujizui kutoka kwa mkojo eidha kwa maradhi/kuota upo kichakabi unajisaidia,kuota upo chooni unajisaidia ama kuota ndoto za kisheitwa na kupekea hali kama hiyo
dawa hii ni maalumu kabisa kwa mtu mwenye shida hiyo awe mtu mzima au hata watoto waliofikia umri wa kuacha kujisaidi lakini imeshindika
matumizi
chota dawa kijiko kikubwa koroga kwenye asali,mazima au maji
ila ukitumia kwenye asali na maziwa ni bora zaidi
utatumia kunywa asubuhi na jioni kwa muda wa wiki mbili kwa uwezo wa mungu tatizo litakwisha
kwa mawasiliano zaidi069XXXXXXX