Tata/changamano ya vitamini nyingi, Amino Asidi, Vitamini A, Vitamini B Tisa (Folic Acid), Vitamini D, Vitamini K
Viungo Amilifu
Kioevu
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Asali
Ladha
Yote ya Asili, Pombe Bure
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
SABABU ZA KWANINI HUTUMIE NATURAL FOREVER BEE HONEY -ni source ya virutubisho vingi vinavyo hitajika mwilini -huongeza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbali mbali -huponyesha vidonda vya mwili kama kuungua na moto - ni tiba ya vikohozi kwa watoto wadogo -inapunguza mafuta mabaya mwilini -hutumika kama mbadala wa sukari kwa watu wenye matatizo ya kisukari -inatumika kufanya scrub kwa magonjwa ya ngozi kama vipele na chunisi - ni tamu na ni 100% natural - husaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula -kwa mwanaume ni muhimu kutumia asali hii na sio sukari ambayo itakwenda kukusababishia ukosefu wa nguvu za kiume