Karibu Mr mizani Tanzania Ltd ni wauzaji machines mbali mbal kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-18:00
metal detector ya kisasa – pata dhahabu kwa urahisi!
unatafuta dhahabu, fedha au metali ardhini?
hii metal detector ni mashine bora kwa wachimbaji, watafiti na wafanyabiashara wa migodi
hutambua dhahabu na metali nyingine
skrini ya digital – rahisi kusoma
rahisi kutumia (mtaalamu na anayeanza)
inafanya kazi vizuri maeneo ya migodini, mchanga na ardhi ya kawaida
imara na ya kudumu
bei: tzs 1,700,000/=
location: kariakoo
simu071XXXXXXX