tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Vifaa na zana za kibiashara
  3. Vifaa vya rejareja na duka
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, siku 1 iliyopita
12 maoni

Mashine Za Kuyeyushia Dhahabu

+1
Chapa Mpya
Hali
Uwasilishaji
Nchini kote
1 mchana
Bila malipo
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo
Open
• Jumatatu - Jumapili, 05:00-23:00
Tunauza mashine za kuyeyushia dhahabu, zenye uwezo wa hali ya juu wa kuyeyusha dhahabu na metal nyingine kwa matumizi ya kitaalamu na kibiashara. Mashine hizi ni bora kwa wachimbaji wa madini, mafundi wa vito, na kazi za madini. Sifa za Mashine za Kuyeyushia Dhahabu: - Zinatumia teknolojia ya kisasa kwa kuyeyusha dhahabu kwa haraka na kwa ufanisi mkubwa. - Zina uwezo wa kuyeyusha dhahabu kwa viwango tofauti vya joto kulingana na mahitaji yako. - Muundo wake ni imara, wa kudumu, na salama kutumia. - Rahisi kutumia, hata kwa watu wasiokuwa na uzoefu mkubwa. - Inafaa kwa matumizi ya biashara za madini na maabara. Tunasafirisha popote Tanzania kwa haraka na uhakika.
TSh 1,500,000
Bei isiyobadilika
1 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif