Karibu Mr mizani Tanzania Ltd ni wauzaji machines mbali mbal kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-18:00
Gold washing machine
Ni mashine inayotumika Kuchujia dhahabu ikiwa kwenye mchanga au sehemu zenye maji
Capacity 30kg
Chujio upana 8mm
Urefu 1 meter
Inatumia petrol
Bei yake ni 3,500,000/=
Tunapatikana kariakoo mafia na nyamwezi
Pia tunafanya delivery mikoani Tunatuma kwa uaminifu
Mawasiliano zaid
+
Epuka Matapeli
Njoo dukani uapatiwe bidhaa iliyo bora na maelekezo zaidi