Kigunduzi cha bandia, Kuhesabu Thamani, Bechi, Onyesho la LCD, Hali ya Ongeza
Idadi ya madirisha ya Hema
Chapa Mpya
Hali
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni B
Kuna mashine special Kwa ajili yako itakayokuhesabia pesa kwa umakini wa hali ya juu na kuweka hesabu zako sawa muda huo huo!!
Hii ni Digimax.
Inakupa jumla ya kiasi ulichonacho.
Inatenga pesa zako Kwa mafungu.
Inagundua noti feki.
Inahesabu Kila aina ya fedha duniani (Tsh, Dola , Pound nk)
Unaweza kuongeza na kupunguza speed ya kuhesabu pesa
Inapatikana Kwa Tsh 330,000 tu
Ni muda wa kuweka hesabu zako sawa076XXXXXXX