Saam renewal face cream
.
●inafuta madoa meusi yote usoni
-uwepo wa kojic acid na ailpha arbutin ni viungo maalumu kwa ajili ya kufuta madoa mweusi yote na kuacha ngozi clear kabisa .
.
● inatunza na kuongeza unyevu nyevu ( moisture )
- uwepo wa kiungo cha vitamin e kinasifika kwa kutunza unyevu kwenye ngozi muda wote , na kupelekea ngozi kupata muonekani wa ngozi mtelezo
●inatunza ngozi kuharibika na jua
-uwepo wa vitamin e kwenye saam , inaenda kuzuia ngozi kuharibika na jua muda wote
● inafuta melasma
-uwepo wa kiungo cha niacinnamide , hii hufanya kazi ya kufuta melasma aina zote ( melasma na hypepigmentation ) na kufanya ngozi kuwa na muonekano mmoja uso mzima.
● inafuta mikunjo ( wrinkles ) zote usoni
-saam inafuta mikunjo yote ya uzeee na kukupa muonekano wa ujana zaidi muda wote
.
.