Ngozi Yako Inamafuta Mengi Basi SONYA Inakufaa Kutumia Hii
Dar es Salaam, Ilala, 27/05
4 maoni
Ngozi Yako Inamafuta Mengi Basi SONYA Inakufaa Kutumia Hii
+1
Unisex
Jinsia
Zana za Utunzaji wa Ngozi
Aina
Forever Living
Chapa
Uso
Eneo la Ngozi
Ukubwa wa Sampuli
Ukubwa
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Hii ni tube ambayo inasafisha ngozi na kuondoa mabaka mabaka, tango tango, chunusi, rashes, itakuponyesha vidonda vya kwenye ngozi, inaondoa makunyanzi ya uzee(ant ageing) pia hufanya ngozi kuwa soft na kuwa yenye rangi moja ni nzuri sabu imetengenezwa kwa kutumia mimea asilia pia unapotumia tube hii huwa tunashauri utumie na aloe vela gel kwaajili ya kusafisha mwili kwa ndani na kuongeza kinga ya mwili itakayo enda kuleta matokeo mazuri hadi kwenye ngozi yako kwasababu -itaondoa sumu mwilini -itakusaidia kwenye kufyonza virutubisho mwilini -itakusaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula na kukupa faida zingine nyingi