EL-NETT Knuckles Cream .(Futa Sugu Mikono Na Miguu )
Almasi
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, siku 1 zilizopita
25 maoni
EL-NETT Knuckles Cream .(Futa Sugu Mikono Na Miguu )
+1
Ya Wanaume
Jinsia
Dark Sport Removal
Aina
Other
Chapa
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 5,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 5,000 - 10,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Mnazi Mmoja ,Ilala ,Dar es salaam , Tanzania
By Normal Call
By WhatsApp
Open
• Jumatatu - Jumapili, 06:00-22:00
Ngoja leo niwape umbea !
juzi kati nilikuwa napita pita zangu ulaya , nikakutana na hii cream . nikasema ngoja nichukue nijaribishe kwa matumizi yangu , huwezi amini ilinipa matokeo ndani ya siku 3 tu
yaaani ule uchafu na sugu zote za kwenye vidole na miguu uliishaaa kabisaa yaani clear kabisa ...
nikasema nirudi fast kwenye kuchukua nyingine kwa ajili ya wateja wangu , heee si nikaambiwa zimebaki chache nilitamani kulia ...
nilipata kidogo sana , kwasasa zipo dukani
usikose hii mali aseee , yaaaanii chukua hata uweke akiba ndani itakusaidia baaadae .
tupigie / whatsapp.
... tunafanya delivery na mikoani tunatuma ...