Arubaini, Arubaini na moja, Arubaini na nne, Arubaini na tatu, Arubaini na nne, Arubaini na tano
Ukubwa
Timberland
Chapa
Chapa Mpya
Hali
Rangi nyingi
Rangi
Ngozi
Nyenzo za Juu
Ngozi
Vifaa vya Insole
Misimu Yote
Mismu
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo mtaa wa congo na agrey
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-19:00
TIMBERLAND BOOTS ZIMEWASILI
Size: 6, 7, 8, 9, 10, 11
Bei: Tsh 100,000/=
Kama unataka kuonekana Boss, Kiongozi au Mwanaume wa Kiwango — hizi ndiyo boots sahihi kwako!
Sole imara sana – hazichakai kirahisi
Ngozi imara ya kiwango cha juu
Zinavaa kazini, outing, safari au kila siku
Muonekano wa kishujaa na wa kujiamini
Zinapendeza na jeans, suruali au hata cargo
Tunapokea oda na tunatuma mikoa yote Tanzania
Location: Kariakoo – Mtaa wa Congo & Agrey
WhatsApp / Simu:
+
+
+
Stock inaisha haraka!
Usisubiri hadi uone kwa mwingine — weka oda sasa uwe mbele ya wengine!