Tunachimba Visima Vya Maji Safi Kwa Gharama Nafuu Sana
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, masaa 6 yaliyopita
33 maoni
Tunachimba Visima Vya Maji Safi Kwa Gharama Nafuu Sana
+1
Other
Chapa
Nyingine
Aina
Chapa Mpya
Hali
Tunachimba visima vya maji safi kwa tumia mitambo na mashine za kisasa,kuanzia utafiti wa maji ardhini mpaka uchimbaji kisima Cha maji.
Tumekuwa na uzoefu wa miaka15 katika sekta ya uchimbaji visima vya maji safi na tumefanikiwa kufanya kazi mikoa yote ndani ya Tanzania.
Hivyo basi kupitia uzoefu huu tumeweza kujua changamoto zakiuchimbaji katika Kila mkoa ndani ya Tanzania, Ndiomaana tunakuhakikishia mteja wetu kupata kisima Cha kudumu kisicho na changamoto za aina yeyote siku zote za matumizi Yako.
Kumbuka Tunachimba visima vya maji kwa matumizi mbalimbali kama ifuatavyo :-
√ Majumbani
√ Mashambani
√ Viwandani
√ Nyumba za ibada(Msikitini/Kanisani)
√ Mashuleni
√ Masokoni
√ Maofisini nk.
NB : Nimuhimu kufanya utafiti wa maji ardhini (Geophysical survey) kabla ya uchimbaji kisima.
Kwamaelezo zaidi065XXXXXXX