BRAND NEW IN BOX: TP-Link AX1800 Wi-Fi 6 Range Extender (RE605X)
Unasumbuliwa na mtandao wa Wi-Fi kukatika au kutosoma vizuri chumbani au Ofisini kwako? Hili hapa suluhisho la kisasa kabisa!
hapa unaongelea Teknolojia Mpya ya Wi-Fi 6
Sifa zake:
Wi-Fi 6 Speed: Inapiga spidi hadi 1201 Mbps (kwenye 5GHz) na 574 Mbps (kwenye 2.4GHz)—ni moto kwa online gaming na streaming za 4K.
Universal Compatibility: Inafanya kazi na Router yoyote ile (Airtel, Vodacom, Halotel, au Fiber za nyumbani).
EasyMesh Compatible:
Gigabit Ethernet Port:
Tether App Setup:
Hali ya Mzigo: Brand New, sealed kwenye box kabisa. Zimebaki pisi 4 tu!
Bei ya Ofa: * Pisi moja: TSh 180,000 tu!
Ukichukua zote 4 kwa mkupuo, tunazungumza bei ya punguzo!
Mawasiliano: [+]
Whatsapp: +
Dar es Salaam, Tanzania.