Bajaji ya Abiria Inayotumia Mifumo miwili, Umeme na Mafuta
.
> • Mpya (0 km)
> • Inatumia Umeme (nishati kuu) na Petroli (nishati dharula)
> • Umeme unit 9 unatosha kujaza betri kwa masaa 8
> • Full charge umbali mpaka kilomita 130
> • Full automatic (buttons gears; staff accelerator na floor brake pedal)
> • Ni rahisi kuendasha hata kwa wanamama
> • Inabeba kilo 550 au abiria 4 (akiwemo dereva)
> • Inapita kwenye mazingira yote ya barabara
> • Inapunguza gharama
> • Inaongeza kipato
> • Inaokoa wakati wa uhaba au ukosefu wa mafuta na gesi
> • Bei ni TZS milioni 12.5 (pamoja na usajili & bima)
> • Zinapatikana zenye roof ya turubai & bati
> • Ukinunua mpya, unapewa huduma ya matengenezo bure mara 3 ndani ya miezi 6
.
Loc:
Dar es Salaam