IPhone 13 ni simu yenye skrini ya inchi 6.1 na processor yenye nguvu ya A15 Bionic inayofanya kazi kwa kasi kubwa bila kukwama. Pia, inakuja na kamera mbili kali za nyuma za megapixel 12 zenye uwezo wa kurekodi video za mtindo wa filamu (Cinematic Mode) na betri inayodumu kwa muda mrefu siku nzima.