Tunauza kifaa cha kuzuia kupaliwa Tanzania, kifaa cha dharura kinachotumika kuokoa maisha wakati mtu anapopaliwa chakula kinywani. Kifaa hiki ni rahisi kutumia, salama, na kinafaa kwa nyumbani, shule, mikutano, migahawa, na ofisi ili kuhakikisha usalama wa kila mtu.