Inauzwa mashine ya kukuna nazi ya umeme
acha uchovu wa kukuna kwa mkono! kazi inakuwa rahisi na haraka.
inafaa kwa:
mama ntilie - chapati, sambusa, mandazi ya nazi
migahawa na hotel
viambatanishi vya mikate na vyakula
matumizi ya nyumbani - kila siku
**faida zake:**
1. **inakuna haraka sana** - nazi 1 inamalizika kwa sekunde chache tu
2. **bakuli la stainless steel** - safi, imara na rahisi kuosha
3. **inatumia umeme wa 220v** - plug tu na anza kazi
4. **inakuna vizuri** - inatoa nazi iliyokunwa sawa, haina mabaki makubwa
5. **inaokoa nguvu** - acha kukuna kwa mkono hadi mkono unauma
**condition:** mpya kabisa
**location:** dar es salaam
**bei:** wahi piga / whatsapp kwa bei poa. tuna delivery!
duka mkononi store - tunakuletea vifaa vya kukusaidia biashara
stock ni chache, wahi sasa!