Zima Kiotomatiki, Ncha (vipimo) vinavyostahimili joto, Kiashiria cha Mwanga, Washa/Zima Swichi ya Umeme, Udhibiti wa Joto
Vipengee vya Birika
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine tupo kariakoo, tuna electronics aina zote brand zote tuulize unayoitaka bei zetu nikitonga na warranty uhakika, bei za stoo kabisa
.
hili ni jagi la kuchemshia maji la zunne lina chemsha maji na kijizima lenyewe, halitumii umeme mwingi, halipati kutu na ni imara sana tunakupa warranty mwaka
.
usipigwe tena kwenye manunuzi ya bidhaa za electronics sisi hatuuzi kwa tamaa kabisa, yaani bei zetu ni kitonga hatuna tamaa kama wengine tunazo bidhaa zote brand zote tv zote hisense, samsung, lg na mafriji aina zote, bei zetu huwezipata popote pale
tunapatikana kkoo karibu na kanisa la kkkt ukifika kwenye geti la kanisa kkkt piga simu074XXXXXXX