Katakata, Saga, Kuponda barafu, Mapigo ya moyo, Smoothie
Uwezo wa Kifaa
Chakula cha Mtoto, Visa, Juice, Milkshakes, Smoothies
Matumizi ya Vifaa
Inaweza kuunganishwa, Washa/Zima Swichi ya Nishati(, Kifuniko cha Uwazi
Vipengele vya Blender
Msingi wa Magari
Vipengele vya blenda vimejumuishwa
150watts
Nguvu
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Open
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Ili ujibiwe haraka usitume msg nipigie simu
.
hili ni heavy duty brenda kwajili ya kazi kazi maana linanguvu sana na imara sana, linaweza kusaga hadi mawe, kwakuwa lina kitako cha chuma na mapanga ya chuma kigumu nakupa warranty miaka miwili ukinunua hili
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa mzigo wako uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti,
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, majiko nk tunazo brand zote kama hisense, samsung, lg, tcl, nk
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt