Ofa Ofa = Hisense Freeza Lita 420 Linagandisha Chap Imara
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, 23 min ago
1 maoni
Ofa Ofa = Hisense Freeza Lita 420 Linagandisha Chap Imara
+1
2
Freezers
Aina
Nyeupe
Rangi
Chapa Mpya
Hali
Hisense
Chapa
Umeme
Chanzo cha Nguvu
1
Idadi ya milango
Chuma cha Pua
Vifaa ama nyenzo
Kifua
Aina ya Freezer
A++
Darasa la Nishati
Inabadilishwa kuwa Jokofu, Mwangaza wa ndani, Kikapu kinachoweza kutolewa
Vipengele vya Friza
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Open
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Tunauza bidaa mpya tu hatuna used, majibu ya haraka piga simu sio meseji
.
hili ni freeza kubwa la hisense lina lita 420 ni imara sana na ubora wa hali ya juu sana linagandisha fasta warranty uhakika miaka 3 halili umeme sana
.
delivery tunafanya lipa ukishapokea mzigo wako na kuukagua
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwani sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia kwa bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote mfano tv nchi 17-98, sabufa, sound bar, friji, majiko aina zote pia brand zote zipo kama hisense, samsung, lg, tcl, aborder, alitop na nyinginezo ushindwe ww tu
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt tupigie