tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Vifaa vya jikoni
  4. Silinda za Ar-CO2
  5. Vifaa vya jikoni
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, masaa 2 yaliyopita
8 maoni

Ofa Ofa = Ailyons Friji Lita 229 Imara Sana Warranty Miaka 3

+1
Friji
Aina
Chapa Mpya
Hali
Ailyons
Chapa
Friza ya Chini
Aina ya jokofu
2
Idadi ya milango
4
Idadi ya Shelves
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Open
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Tunauza bidaa mpya tu hatuna used, kwa majibu ya haraka piga simu sio meseji . kama unataka friji imara nunua ailyons lita 229 imara sana na warranty ni miaka mitatu ina ubora wa hali ya juu sana na hipigi kelele . delivery tunafanya lipa ukishapokea mzigo wako na kuukagua . usishangae unafuu wa bei zetu kwani sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics . sisi tuutakupa kwa bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti . zipo bidhaa zote mfano tv nchi 17-100, sabufa, sound bar, friji, majiko aina zote pia brand zote zipo kama hisense, samsung, lg, tcl, aborder, na nyinginezo ushindwe ww tu . tuko kariakoo njiapanda ya mtaa wa ndanda na muhonda tupigie
TSh 787,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif