tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Vifaa vya jikoni
  4. Silinda za Ar-CO2
  5. Vifaa vya jikoni
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, siku 1 zilizopita
10 maoni

Ofa Ofa = Ailyons Friji Imara Sana Lita 262 Warranty Miaka 3

+1
Friji
Aina
Chapa Mpya
Hali
Ailyons
Chapa
Friza ya Chini
Aina ya jokofu
2
Idadi ya milango
4
Idadi ya Shelves
Nje
Mahali pa Dispensa ya Barafu na Maji
Mwanga wa Ndani wa Freezer, Crisper Inayodhibitiwa na Unyevu, Bawaba ya Mlango Inayoweza Kubadilishwa
Vipengele vya Jokofu
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Tunauza bidaa mpya tu hatuna used, kwa majibu ya haraka piga simu sio meseji . kama unataka friji imara nunua hii ailyons lita 262 imara sana na warranty ni miaka mitatu inanubora wa hali ya juu sana na hipigi kelele . delivery tunafanya lipa ukishapokea mzigo wako na kuukagua . usishangae unafuu wa bei zetu kwani sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics . sisi tuutakupa kwa bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti . zipo bidhaa zote mfano tv nchi 17-100, sabufa, sound bar, friji, majiko aina zote pia brand zote zipo kama hisense, samsung, lg, tcl, aborder, na nyinginezo ushindwe ww tu . tuko kariakoo njiapanda ya mtaa wa ndanda na muhonda tupigie
TSh 870,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif