Globalstar jiko la gas na umeme lenye oven ya umeme (50×50)
burners 4:
3 za gas
1 ya umeme
oven ya umeme
linafaa kwa kupikia, kuoka keki, mkate na vyakula mbalimbali kwa urahisi.
muundo wa kisasa, imara na wa kudumu.
bei: tsh 450,000/=
kariakoo, dar es salaam
piga simu:
whatsapp:
huduma ya delivery inapatikana
kifaru smart mall
ukurasa mmoja. suluhisho nyingi.