tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Vifaa vya jikoni
  4. Majiko na Oveni
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, 54 min ago
4 maoni

Friji LA Mr UK Lita 282 Milango Minne

+1
5
Friji
Aina
Fedha
Rangi
Chapa Mpya
Hali
MR UK
Chapa
Umeme
Chanzo cha Nguvu
Friza ya Chini
Aina ya jokofu
4
Idadi ya milango
6
Idadi ya Shelves
Chuma cha Pua
Vifaa ama nyenzo
Kipima Muda cha Mitambo
Aina ya Defrost
Msimamo wa bure
Aina ya Usakinishaji
A+++
Darasa la Nishati
220V
Volteji
150watts
Nguvu
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
Bila malipo
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu . hii ni friji kubwa ya mr uk, ambayo ina lita 282 na ina mwonekano mzuri sana na milango minne, ina ubora wa halibya juu sana na ni frost free, ina nafasi kubwa ndani na ni imara sana, ukinunua hii mkataba na nakupa warranty miaka 3 . delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama . usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics . sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti . zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi n.k . tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt
Friji LA Mr UK Lita 282 Milango MinneFriji LA Mr UK Lita 282 Milango Minne
TSh 1,390,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif