tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Vifaa vya jikoni
  4. Majiko na Oveni
  5. Majiko na Oveni
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, siku 1 zilizopita
15 maoni

Friji LA Hisense Og Lita 154

+1
2
Friji
Aina
Kijivu
Rangi
Chapa Mpya
Hali
Hisense
Chapa
Umeme
Chanzo cha Nguvu
Friza ya juu
Aina ya jokofu
2
Idadi ya milango
4
Idadi ya Shelves
Chuma cha Pua
Vifaa ama nyenzo
A++
Darasa la Nishati
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
Bila malipo
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Open
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu . hii ni friji ya hisense (225tts) ina lita 154, na ina freeza kwa juu, ina ubora wa hali ya juu na ni imara sana, ukinunua hii mkataba nakupa warranty miaka 3 . delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama . usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics . sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti . zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo nyingi. tunazo brand zote kama hisense, samsung, lg, tcl . tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt
Friji LA Hisense Og Lita 154Friji LA Hisense Og Lita 154
TSh 680,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif