Air Fryers zinapatikana kwa bei punguzo. Air Fryers husaidia/hutumika kupika vyakula bila mafuta mengi hivyo kukupunguzia athari nyingi zitokanazo na ulaji wa vyakula vya mafuta. Inatumia umeme kidogo, na inaivisha haraka sana.
Zinapatikana pia za ujazo wa 8litres kwa 180,000/= na 15litres kwa 280,000/=TZSHs tunapatikana kariakoo mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni karibu na sheli ya Big Bon.
free delivery ndani ya DSM. mikoani pia tunaagiza.