*Rahisi kusafisha na kutumia
*Inajizima yenyew (auto shut off)
*Inauwezo wa kupika kuchoma kuoka kupasha na kukaanga bila kutumia mafuta kidogo au usitume kabisa
*Inakikaango kisicho unguza
*Ina mfumo wa kidigitali
*Inauwezo wa kuseti joto na kupima muda wa chakula kuiva