AERO Double Door Refrigerator 130L (ARD-130SLV)
Bei: Tsh 520,000/=
Sifa Kuu
Uwezo: 130 Litres – Inafaa kwa familia ndogo au matumizi ya ofisini.
Double Door Design – Freezer juu na friji chini kwa mpangilio mzuri wa vyakula.
Energy Saving – Inatumia umeme kidogo huku ikitoa ubaridi mzuri.
Toughened Glass Shelves – Rafu imara zinazoweza kubeba vyakula vizito.
Vegetable Crisper – Sehemu maalum ya kuhifadhi matunda na mboga zikiwa fresh muda mrefu.
LED Light Ndani – Mwanga mzuri ndani ya friji kuona vyakula kwa urahisi.
Low Noise Design – Inafanya kazi kimya bila kelele nyingi.
Muonekano wa kisasa na ubora wa kudumu – chaguo bora kwa nyumba au biashara ndogo.
Bei: Tsh 520,000/=