Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa milioni 130 maongezi yapo ipo kerege ccm - bagamoyo (pwani)- tanzania,iko mita 200 kutoka main road ya bagamoyo road
vyumba vitatu vya kulala
master bedroom
sitting room
dining room
◇ kitchen
◇ store
public toilet
ukubwa wa kiwanja: sqmt 3000
◇document sales agreement (hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
kiwanja kimepimwa hati miliki itatoka kwa jina la mteja atakae nunua
◇ maji safi dawasco umeme vyote vipo kwenye nyumba
◇nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana