Nyumba inauzwa
ipo katikati ya kivule na msongola wilaya ya ilala dar es salaam
bei tsh milioni 32 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 400
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa(kiwanja kimepimwa)
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
tiles
gypsum
maji yapo dawasa
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=