Ipo msongola wilaya ya ilala Jiji la dar es salaam ni nyumba nzuri sana ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya lami ni nyumba ya (5) tu
Kutoka bara bara kuu ya lami
Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master bedroom ina sitting room ina daining room na jiko pamoja public toilet ina maji na umeme upo Jillian kuingia ndani
Ina uzwa bei ya kutupa sana tsh million 25 tu
Ina eneo kubwa lililo Baki
Kwa maelekezo zaidi nipigie cm au nichek Whatsap