Nyumba mbili zinauzwa gongo la mboto majohe chuo rada wilaya ya ilala (dar)
bei milion 22 tsh
vyumba jumla ni v5 na sebule
nyumba kubwa ina vyumba v3 na sebule kimoja masta
nyumba ndogo ina chumba kimoja na sebule na choo ndan
umeme, jipsam na maji vipo
unatembea had stend
mazingila tulivu sana