Nyumba inauzwa
location:pugu kigogo fresh wilaya ya ilala dar es salaam
bei tsh milion 60 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
umeme upo
maji yapo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=