Nyumba Inauzwa
Ipo Pugu Kajiungeni Manispaa ya Ilala Dar es salaam
Bei Tsh milion 140 maongezi yapo
Ukubwa wa eneo sqm 1000
Umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
Vyumba 3 vya kulala
Chumba kimoja master
Sitting room
Jiko
Dinning room
public Toilet
Fenced and gate
Nyumba Ina tiles na gypsum
Ina maji safi toka dawasa na umeme