Nyumba inauzwa bei kitonga kabisa
kwa milion 22 tu unaipata.
inapatikana msongola shule, wilaya ya ilala dar es salaam.
________________
wahi boss haikai hii
___________________
maelezo ya nyumba:
_________________________
vyumba 3 vya kulala – 1 ni master bedroom
sebule ya kawaida.
choo cha public
nyumba ipo karibu kabisa na barabara kubwa
ni karibu na shule ya msingi na sekondari hivyo unaweza kupangisha.
ina board yote, na tukikubalina unamaliiziwa vitu vilivyobaki.
umeme upo | maji yapo tayari
mahali:
_________________________
msongola wilaya ya ilala
mkoa wa dar es salaam – tanzania