Nyumba i n a u z w a kwa niaba ya benki tzs 90 milioni
location majohe chuo rada dar es salaam tz
vyumba 4 vitatu vya kulala kimoja master
kimoja ni study room/ kusalia/ kuwalia
sebule
dining
jiko
public
luku
maji
fence
pia kuna servant quarta ya vyumba 4 na choo ya nje
ukubwa wa eneo sqm 800
document hati miliki ya wizara ya aridhi
umbali km 1 kutoka stend
bei tzs 90 milioni