Nyumba inauzwa
ipo kivule njia 4
bei tsh milion 36 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 580
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa(kiwanja kimepimwa)
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
tiles
gypsum
maji yapo dawasa
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=