Nyumba inauzwa - milioni 33
#ipo: chanika mwisho
nyumba ni nzuri sana na bado ni mpya
ina sebule kubwa, dinning room, vyumba vitatu vya kulala kimojawapo ni self-contained room, jiko kubwa, stoo, choo cha public
nyumba ipo ndani ya fensi
maji na umeme vyote vipo
dk. 5 kutoka kituoni
maongezi kidogo yapo
eneo ni 400sqm