Nyumba inauzwa
ipo chanika dar es salaam
bei tsh milioni 38 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 400
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimkja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced
maji yapo
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=