Mizani hii haipimi uzito tu, bali ina uwezo wa kupima kiwango cha mafuta mwilini (body fat percentage)
Hii hufanyika kupitia teknolojia ya bioelectrical impedance analysis (BIA), ambapo umeme mdogo usiohisiwa hupitia mwili ili kuchambua mafuta, misuli, maji mwilini n.k