Ni aina ya simu ya mezani ina sauti kubwa,ina alarm,inakaa sana na charge, unaweka lain ya mitandao yote iwe vodacom,tigo,airtel,zantel,ttcl,halotel,.Ni simu ambayo ni rahisi kutumika kwa mtu yeyote uzuri zaidi inapokea na kuongea lugha zote ni line moja pia lain mbili ipo