Kichujio cha vumbi, Joto na Baridi, Kidhibiti cha Mbali, Hali ya Kulala
Vipengele vya kiyoyozi
Nyeupe
Rangi
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Hili ujibiwe haraka usitume msg nipigie simu
.
bei zote za ac za lg with dual inverter
.12000 btu bei = 1,139,000
.18000 btu bei = 1,550,000
.24000 btu bei = 1,840,000
.
lg ac ni imara sana zinapooza vizuri na zina warranty miaka 2
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi aina zote, na nyinginezo nyingi. tunazo brand zote kama hisense, samsung, lg, tcl, alitop
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt