Hii ni seti ya meza ya kulia chakula yenye muundo wa kisasa. Ina meza ya juu iliyotengenezwa kwa marumaru (marble) yenye mchanganyiko wa rangi nyeupe na mistari ya kijivu, inayokaa juu ya miguu imara ya chuma yenye rangi ya dhahabu. Seti hii inajumuisha viti sita (6) vilivyofunikwa kwa ngozi. Viti vina rangi mbili; sehemu ya nyuma ni ya rangi ya kahawia iliyokolea, na sehemu ya kukalia ni ya rangi ya kremu. Miguu ya viti ni meusi, na ina ncha ndogo za rangi ya dhahabu. Muundo wake unaonyesha uzuri na uimara.
*Ni Imported