Hii ni simu ya kuuwa magugu shambani Yani hiii inatumika kwa ajili ya kuuandaa shamba Kwa ajili ya kupanda au kulima pia hii inauwezo mkubwa ambapo hii inafika Hadi chini ya mzizi wa Gugu yaani nyasi pia hii hufanya kazi ndani ya siku saba ila ndani ya siku tatu ndio huanza kuona matokea yake jinsi inavyo fanya kazi Yani ki ufupi ni simu inayo kausha majani shambani na kuuwa Hadi kiini Cha majani kama ndago na majani yote shambani
Pia hakikisha wakati wa kupiga simu hii hakuna zao lolote shambani kwani hii haichagui Jani majani yote inachoma
Pia tunauza Kwa jumla na reja reja