Ni nyanya chotara yaani( hybrid) na ni nyanya yenye sifa kuu tatu inavumilia ukame , haishambuliwi hovyo na minyauko au magonjwa ,na pia huzaa sana ambapo mche mmoja unaweza ukatoa kilo 7 mpaka 15 na hubeba tani 35 - 75 kwa ekari endapo utaipa usimamizi mzuri shambani pia nyanya hii huanza kwa ujazo wa grm 5,10,25 tu