MAYUMBA TZ
Imekuletea usasa wa mashine kwajili ya kupandia mbegu mbali mbali za nafaka kama vile Kunde, mtama, maharage, karanga n.k
Ni mashine imara na mshine zetu hizi zinauwezo wa kupanda na kuweka mbolea papo hapo kwa wakati mmoja na pia hazina gharama kwani zinatumia nguvu zako we mwenyewe.
*Full warranty.
* Manual machine.
*inapanda sehemu za aina zote