tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Malisho ya Wanyama wa Shamba na Virutubisho
Dar es Salaam, Ilala, 16/05
35 maoni

Tomatoes Seeds

+1
Fruit Seeds
Aina
Other
Mbegu za Matunda
Karibu ujipatie mbegu bora za nyanya aina ya assila f1, ansal f1, dhahabu f1,imara f1 kwa bei nafuu kabisa, nyanya zetu zina sifaa zifuatazo ambazo ni;- 1. inavumilia ukame 2. zinazaa sana 3. hazishambuliwi na magonjwa ya mara kwa mara nyanya zetu zipo kweny ujazo tofauti tofauti ila ujazo mkubwa ambao unaweza ukatosha ekari moja ni mbegu 10,000 karibuni wateja uweze kujipatia mbegu imara za nyanya bei zetu za mbegu za nyanya pamoja za aina yake 1. assila f1 mbegu 10,000 , 600,000/= tshs 2. ansal f1 mbegu 10,000 , 650,000/= tshs 3. dhahabu f1 gr 25, 250,000/=tshs 4. imara f1 gr 25, 250,000/=tshs
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif