tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Mali ya Biashara Kwa Kukodisha
Dar es Salaam, Ilala, 28/05
6 maoni

Nyumba Iko Mbezi Inapangiishwa

+1
1
Ghorofa
Aina ya mali
Mbezio
Anwani
Samani
Samani
Imejengwa Mpya
Hali
450sqm
Mita za mraba
3
Nafasi za Maegesho
180days
Muda wa chini wa Kukodisha
20000
Ada ya Wakala
800000
\Ada ya Kisheria na Makubaliano
0
Ada ya Tahadhari
Nyumba hii nzuri ipo mtaa mzuri sana inapangishwa zipo nne tuu kwenye fensi moja bei ni 800,000/= x 6 nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #dinning #jiko kubwa la kisasa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking kubwa #garden #zipo nyumba nne kwenye fensi moja nyumba zimefungwa ac vyumbani na sebuleni na maji yamoto vyooni na jikoni bei ni 800,000/= x 6 nyumba hii ipo mbezi stand ya magufuli ni dakika kumi kwa kutembea kwa miguu kutoka stand ya magufuli mbezi swala la usafi na kuudumia garden pamoja na mlinzi ni jukumu la mmiliki wa nyumba hlo halimuhusu mpangaji ukipanda boda boda ni 1000 kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
Nyumba Iko Mbezi InapangiishwaNyumba Iko Mbezi InapangiishwaNyumba Iko Mbezi InapangiishwaNyumba Iko Mbezi InapangiishwaNyumba Iko Mbezi Inapangiishwa
TSh 800,000
1 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif